GLOBAL TV ONLIE -LIVE: Kamanda Mpinga Kuzungumza Saa 5:00 Leo Jumatatu
Share
MTAZAME LIVE Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna Mohamed Mpinga, kupitia #YouTube Channel uipendayo yaGlobal TV Online, leo Jumatatu, Februari 20, 2017 saa 5:00 asubuhi, akizungumzia mambo mbalimbali yanayohusu usalama barabarani na namna ya kuepuka ajali.
Pia mahojiano unaweza kuyatazama #Mubashara kupitia TOVUTI yako namba moja ya===> www.globalpublishers.co.tz
Comments are closed.