Patrick Kanumba Afungukia Penzi na Gigy Money -Video
PATRICK KANUMBA, msanii wa Bongo Movie ambaye aliibuliwa na marehemu Steven Kanumba, akipiga story ndani ya kipindi cha Kata Mbuga jana kinachosikika kupitia Global Radio siku ya Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 4 asubuhi hadi saa 6, jana amekanusha kutoka kimapenzi na Gigy Money.