Mwili wa Bilionea Subhash Patel Ulivyoingizwa Makabuli ya Kijitonyama
ALIYEKUWA Mfanyabiashara Bilionea, Subhash Patel hivi ndiyo mwili wake ulivyowasili kwenye makabuli ya Wahindi ya Kijitonyama Jijini Dar na kupokelewa na waombolezaji kwa ajili ya kukamilisha taratibu za mazishi kwenye makabuli.
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ambaye ametajwa kama rafiki mkubwa wa marehemu tangu walipokuwa watoto ndiye aliyeongoza taratibu za kuuhifadhi mwili huo kwenye makazi ya milele.
Angalia picha
HABARI/PICHA:RICHARD BUKOS /GPL