MWILI wa marehemu Amri Athumani Majuto umetolewa katika Hospitali ya Muhimbili na kupelekwa katika msikiti wa Masjid Maamur, Upanga, jijini Dar es Salaam kuoshwa na kuswaliwa kabla ya kupelekwa viwanja vya Karimjee kuagwa kisha kusafirishwa kwenda kwa maziko Tanga.
(PICHA NA RICHARD BUKOS | GPL)
Comments are closed.