Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Dkt. Ali Hassan Mwinyi akiwa ameongozana na mkewe wamewasili msibani nyumbani kwa marehemu Dkt. Reginald Mengi, Kinondoni jijini Dar kwa ajili ya kutoa pole kwa wafiwa, na waombolezaji wote.
TAZAMA MZEE MWINYI AKIZUNGUMZA
Comments are closed.