Nabii Natasha Aongeza Upako Shilo 2019 -Video
MTUMISHI wa Mungu, Nabii Natasha leo amenogesha tamasha la Shilo lililofanyika katika Kanisa la Mlima wa Moto lililopo Mikocheni ‘A’ Dar es Salaam.
Tamasha hilo linaloaminika kuwa na nguvu kubwa ya ki-Mungu na kujibu maombi ya waombaji, hufanyika kila mwaka kanisani hapo. Katika Shilo ya mwaka huu mgeni rasmi ni Nabii wa Kimataifa na Mtumishi wa Mungu, Natasha kutoka nchini Kenya.
HABARI:NEEMA ADRIAN | PICHA: RICHARD BUKOS /GPL