Ndege ya Indonesia Yaanguka, Yaua Wote 13 Waliokuwemo
Wanajeshi wa Indonesia wakifanya uchunguzi baada ya ndege aina ya Hercules C-130 kuanguka katika eneo la misitu nchini Papua.
NDEGE ye jeshi la anga ya Indonesia aina ya Hercules C-130 imeanguka katika eneo la misitu nchini Papua na kuua watu wote waliokuwemo ndani yake ambao ni marubani watatu na wanajeshi 10.
Mnadhimu wa jeshi, Agus Supriatna aliiambia shirikala habari la Metro TV kwamba huenda hali ya hewa ndiyo iliyosababisha ajali hiyo.
Ndege hiyo ilikuwa imebeba chakula kutoka Timika kwenda Wamena ilipoanguka milimani karibu na sehemu iliyokuwa inakwenda.
MAKONDA ALIPOKUTANA NA MTOTO MWENYE ULEMAVU
Comments are closed.