Ndege hiyo ilieleza sababu ya kuchelewesha safari yake ni kutokana na kuchelewa kupokea mafuta ambayo walikuwa wameyaagiza.
Aidha uongozi wa kampuni hiyo ya ndege iliandika taarifa katika mitandao ya kijamii kuomba radhi kwa tukio lililotokea na kuhaidi tukio hilo kutojirudia siku zijazo.