The House of Favourite Newspapers

Ndugai Kuwaapisha Wabunge Wawili wa JPM

0

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, leo Desemba 8, 2020, atawaapisha wabunge wawili walioteuliwa na Rais John Magufuli, Desemba 5, 2020, katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Leave A Reply