NEC Yakanusha Mawakala Kukataliwa Jimbo la Monduli – Video
MWENYEKITI wa Tume ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage amekanusha habari zinazosambazwa kuwa mawakala wote Monduli wamezuiwa kuingia katika vituo vya kupigia kura na kwamba jimbo la Ukonga lenye vituo vya kupigia kura 673 uchaguzi unaendelea vizuri.
Comments are closed.