New Song: Blandina Godfrey & Enock Jonas – Nikuone (Official Audio)
Share
MUIMBAJI anayechipukia katika tasnia ya nyimbo za gospel, Blandina Godfrey akishirikiana na kijana Enock Jonas wameachia wimbo wao mpya uitwao ‘Nikuone’, hakika ni bonge la wimbo kwa ajiri ya kumwabudu Mungu.
Akiuzungumzia track hiyo, Blandina amesema kwamba Wimbo huo ni kwa wote wanaopita katika majaribu ambayo yamewakatisha tamaa.
“Hatuna budi kuogopa na kuvunjika moyo kwakuwa MUNGU mtenda miujiza, yeye aliye MUNGU wa haki anaona tunachopitia na hakika atatufanyia mlango wa kutokea,” amese,a Blandina.
New Song: Blandina Godfrey & Enock Jonas – Nikuone (Official Audio)
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Comments are closed.