Ng’ombe Mwenye Pembe Ndefu Zaidi Duniani
NG’OMBE mmoja anayefugwa huko Albama nchini Marekani ameingia kwenye recodi ya kuwa na pembe ndefu kuliko wote duniani hadi leo, rekodi iliyothibitishwa Mei 8, 2019.
Pembe zake kutoka mwisho wa pembe moja hadi pembe nyingine zina urefu sm 323.74 sawa na mita 3.2.
Ng’ombe huyo yupo kwenye ranchi iliyopo Birmingham, Alabama na amepewa jina la Poncho Via.