Benki ya NMB, imetangaza wadau mbalimbali wa michezo kushiriki katika Mbio za Nmb Bima Marathon zinazotarajiwa kufanyika Septemba 12, 2020, jijini Dar es Salaam, ambapo mapato yatakayopatikana kupitia mbio za 5km yanatarajia kutumika kusaidia watoto wanye matatizo ya Kansa.
Usiwe na shaka, kama ulishajisajili mwezi Machi bado unaweza kutumia tiketi ile ile Septemba 12 kukimbia katika mbio za NMB Bima Marathon zitakazoanzia Mlimani city.