The House of Favourite Newspapers

Nugaz Yanga: Sishindani na Manara – Video

Mwanachama na Shabiki wa Yanga Antonio Nugaz leo amerudisha fomu ya usemaji wa Yanga ikiwa na viambatanisho vyote ambavyo ameambiwa vinahitajika.

 

Nugaz amesema endapo atakua msemaji wa Yanga ataenda kufanya kazi yake na sio kushindana na mtu kusema Yanga ni Timu kbwa na itafanya mapinduzi ya Aina yake katika Ligi ya Mabingwa.

Comments are closed.