×

Video: Waziri Nape Nnauye Azindua Studio Mpya Za Kisasa Za TBC 2, Mikocheni – Dar

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnaye amezindua jengo la kisasa la studio za TBC2 mkoani Dar...

READ MORE

Mtoto wa Kiume wa Cristiano Ronaldo Afariki Dunia Baada Ya Kutarajia Mapacha

Kupitia ukurasa rasmi wa Cristiano Ronaldo wa Instagram, ametangaza kifo cha Mtoto wake wa kiume ambaye amezaliwa leo, hii inakuja...

READ MORE

Video: Bungeni, Wabunge Wanatoa Hoja Konki, Spika Tulia Anaongoza Kikao…

 Vikao vya Bunge la 12, mkutano wa saba kikao cha nane linaendelea leo jijini Dodoma. Wabunge wanaiuliza Serikali na...

READ MORE

Urusi Yaanza Mashambulizi Mashariki Mwa Ukraine, Zelenskiy Afunguka

Urusi hatimaye imeanza kufanya mashambulizi yaliyokuwa yamesubiriwa kwa muda mrefu mashariki mwa Ukraine. Haya yamesemwa na Rais wa Ukraine Volodomyr...

READ MORE

RC Tabora Kufungua Maadhimisho ya Elimu Igunga

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Balozi Dkt. Batilda Burian anatarajiwa kufungua Maadhimisho ya wiki ya Elimu Aprili 25, 2022 Wilayani...

READ MORE

Nabi Ajifungia Kumsoma Sakho Akijiandaa na Kariakoo Dabi Aprili 30 kwa Mkapa

BENCHI la Ufundi la Yanga pamoja na wachezaji wa timu hiyo, waliutumia mchezo wa Robo Fainali wa Kombe la Shirikisho...

READ MORE

Rais Samia Azindua Filamu ya The Royal Tour Jijini New York Marekani (Picha +Video)

FILAMU ya The Royal Tour imezinduliwa katika ukumbi wa Guggenheim Museum Jijini New York nchini Marekani kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Rais Samia Atoa Wito kwa Vijana Kuchangamkia Fursa za Maendeleo ya Teknolojia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watanzania hususa ni Vijana, kuchangamkia fursa za maendeleo ya...

READ MORE

Simba Queens Waikataa Dabi Yao na Yanga Princess bora Fountain Princess

MENEJA wa Simba Queens, Seleman Makanya, amesema kwa sasa hawana tena dabi na Yanga Princess, ni bora wahamie kwa Fountain...

READ MORE

Ligi ya Beach Soccer Imeendelea Tena Katika Viwanja vya Coco Beach

LIGI ya Beach Soccer imeendelea  katika viwanja vya Coco Beach ambapo mechi za makundi mawili A na B zilichezwa.  ...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Ngorongoro Conservation Area Authority, MEDICAL DOCTOR

POST MEDICAL DOCTOR II – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER Ngorongoro Conservation Area Authority(NCAA) APPLICATION TIMELINE: 2022-04-14...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

JIpatie nakala ya Gazeti la Spoti Xtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS...

READ MORE

Raia Nchini Kenya Ahukumiwa Kifo Baada ya Kuiba Gari la Rais Kenyatta

MWANAUME mmoja raia wa nchini Kenya ambaye anadaiwa kuiba gari la Rais Uhuru Kenyata mwaka 2014 amehukumiwa kifo. Mwanaume huyo...

READ MORE

Mwanaume Nchini Marekani Afariki kwa Kung’atwa na Nyoka Aliowafuga Mwenyewe

MWANAUME aliyetambulika kwa jina la David Riston (49), mkazi wa Maryland nchini Marekani, amekufa baada ya kung’atwa na nyoka aliokuwa...

READ MORE

Baby Madaha Adai Marehemu Maunda Aliomba Msaada wa Maombi Kabla ya Kifo Chake

MWANAMUZIKI wa zamani wa Bongo Fleva Baby Madaha ameongelea ukaribu aliokuwa nao na msanii ambaye kwa sasa ni marehemu Maunda...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Mzumbe University, CLINICAL OFFICER

POST CLINICAL OFFICER II – 1 POST POST CATEGORY(S) HEALTHCARE AND PHARMACEUTICAL EMPLOYER Mzumbe University APPLICATION TIMELINE: 2022-04-15 2022-04-28 JOB...

READ MORE

Mitihani ya Kitaifa Kusahihishwa Kidigitali

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda (Mb) leo Aprili 18 2022 amekagua na kuridhishwa na majaribio...

READ MORE

Rick Ross Akubali Michano ya Rosa Ree, Ampatia Bonge la Shavu Marekani

RICK ROSS au The Boss; ni rapa wa kiwango cha Dunia wa Marekani ambaye huenda amevutiwa na kipaji cha rapa...

READ MORE

Meneja wa Mwamnyeto Afunguka, Adai Simba Wanamsumbua Mteja Wake

MENEJA wa Mchezaji wa Yanga Bakari Mwamnyeto aitwaye Kassa Mussa amedai Klabu ya Simba inamsumbua sana juu ya uwezekano wa...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Atoa Maagizo kwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi

MKUU wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila, ametoa siku 14 kwa wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri mkoani humo,...

READ MORE