×

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 5, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Trump Amteua Makamu Wake Kuongoza Mapambano Dhidi Ya Udanganyifu

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Makamu wake, J.D. Vance, sasa atasimamia mapambano dhidi ya udanganyifu nchini humo, akimtaja...

READ MORE

Wikiendi Ya Moto Ulaya leo: Atletico vs Barcelona, City vs Liverpool Kutikisa

Je unajua kuwa unaweza kutengeneza pesa zako leo na Meridianbet ukisuka jamvi lako la ushindi?. Mechi kuanzia kule Laliga, Epl, ...

READ MORE

Aggy Baby Aweka Masharti Mazito ya Ndoa, Ataja Mahari Mpya

MSANII wa Bongo Muvi, Agness Suleiman Kihamba maarufu kama Aggy Baby, amesema kuwa kwa sasa mahari yake imefikia Shilingi bilioni...

READ MORE

Mashabiki Walalamikia Viingilio Vya Azam Fc Dhidi Ya Simba Kesho

MASHABIKI wameibuka na malalamiko makubwa mitandaoni kufuatia Azam FC kutangaza viingilio vya mechi yao dhidi ya Simba SC itakayochezwa Jumapili,...

READ MORE

Shigongo Aibua Mjadala Bungeni Wakati wa Bajeti 2026/2027 – Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa kauli hiyo Aprili 2, 2026, wakati akichangia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi...

READ MORE

Cheza Kisasa, Shinda Kwa Starehe Na Michezo Ya EGT Digital

Sasa ni rasmi, Meridianbet imefungua milango ya burudani ya kiwango kingine kwa kushirikiana na EGT Digital, jina kubwa linalobadilisha namna...

READ MORE

Trump Aibuka na Mpango wa Kufungua Njia ya Mafuta ya Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa nchi yake ina uwezo wa kufungua tena njia muhimu ya mafuta ya kimataifa,...

READ MORE

Fahamu Sababu Zinazoifanya Djibouti Kuwa Muhimu Duniani

Nchi ya Djibouti ni moja ya mataifa madogo kabisa Afrika, lakini ina umuhimu mkubwa sana duniani  hasa kijeshi na kiuchumi....

READ MORE

Fahamu Hadithi ya Brandon Lee na Kifo Kilichotikisa Hollywood

Brandon Lee, mwana wa gwiji wa sanaa za mapigano, Bruce Lee aliwahi kuwa miongoni mwa waigizaji chipukizi waliokuwa wakipanda kwa...

READ MORE

Vita Yazidi Kuchemka, Marekani Yapoteza Ndege Mbili

Ndege mbili za kijeshi za Marekani, F-15E Strike Eagle na A-10 Thunderbolt II, zimeripotiwa kuangushwa na mashambulizi ya Iran, huku...

READ MORE

Enzo Fernandez Aingia Kwenye Mzozo na Chelsea, Afungiwa Mechi Mbili

Klabu ya Chelsea FC imemuweka kando kiungo wake nyota Enzo Fernandez kwa mechi mbili kufuatia kauli zake za hadharani kuhusu...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 4, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Jeshi la Iran Latoa Kauli Nzito Kufuatia Mashambulizi ya Anga

TEHRAN, IRAN – Mkuu wa Jeshi la Iran Meja Jenerali Amir Hatami ametoa onyo kali kwa mataifa hasimu akisema kuwa...

READ MORE

Zelenskiy Atoa Ofa ya Ulinzi wa Bahari kwa Strait of Hormuz

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kushirikiana na mataifa ya Mashariki ya Kati katika kulinda...

READ MORE

Ufaransa Kuweka Historia Kucheza Fainali Tatu za Kombe la Dunia?

Moja ya sababu kubwa zinazomfanya mchambuzi yeyote kuiweka Ufaransa kama mshindi anayetarajiwa 2026 ni uzoefu wao wa hivi karibuni wa...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi wa Marekani Ajiuzulu Baada ya Shinikizo la Uongozi

Mkuu wa Majeshi Marekani, Randy George, ameacha wadhifa wake kufuatia taarifa kwamba Waziri wa Ulinzi, Pete Hegseth, alimtaka ajiuzulu mara...

READ MORE

Video: Wanaanga wa Artemis II Waongea Moja kwa Moja Kutoka Angani Wakienda Mwezini

WANAANGA wa misheni ya Artemis II wamezungumza moja kwa moja wakiwa ndani ya chombo cha anga aina ya Orion, wakielezea...

READ MORE

Mshtuko Kimataifa! Marekani Yakwepa Mkutano wa Hormuz, Nchi 40 Zakutana

NCHI 40 zimekutana kujadili namna ya kufungua tena njia muhimu ya usafiri wa baharini ya Strait of Hormuz, huku Marekani...

READ MORE

Trump Amtimua Mwanasheria Mkuu wa Serikali Pam Bondi

Rais wa Marekani, Donald Trump, amemfuta kazi Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Attorney General), Pam Bondi, hatua inayokuja kufuatia malalamiko makubwa...

READ MORE