×

MAJABU! MAPANGO yanayoaminika KUONDOA SHIDA ZA WATU -Video

 Mkoani Morogoro katika wilaya ya Gairo ndani ya shamba la miti la Ukaguru yanapatikana Mapango amabyo wenyeji wa maeneo...

READ MORE

Nafasi za Kazi, Sales Officers – TANICA PLC

POSITION: SALES OFFICERS 2 POSTS Tanganyika Instant Coffee PLC Duties and Responsibilities To market the products of the company To...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Nchini Kenya Wafika 1962

Idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini kenya imefikia watu 1962 hii ni baada ya watu 74 kuthibitishwa kuwa...

READ MORE

Miaka 25 ya Chadema Karatu Bila Maendeleo, CCM Yajipanga Kuking’oa

  Wakati nchi ikielekea katika uchaguzi mkuu mwezi Octoba mwaka huu wanachama wa Chama cha mapinduzi wilayani Karatu wameaswa kuongeza...

READ MORE

Benki ya NMB yaadhimisha Wiki ya Maziwa

Wafanyakazi wa Benki ya NMB matawi la Clock Tower, Kenyatta, Bank House na Madaraka wameungana na wananchi wengine kuadhimisha Wiki...

READ MORE

Simba Wanautaka Ubingwa Wao

SIMBA wanautaka ubingwa wao wa Ligi Kuu Bara baada ya nahodha na mshambuliaji wa timu hiyo, John Bocco, kusema sasa...

READ MORE

Wateja Wa Halopesa Kupata Zaidi Ya Sh. Bil 1, Gawio Kwa Mara Ya Kwanza

  Katika muendelezo wa kutoa huduma bora za kifedha nchini. Kampuni ya mawasiliano ya simu ya Halotel kupitia huduma zake...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Champioi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Juni 1, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 1, 2020 Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Sirro Awataka Wanaoachiwa Kwa Msamaha Wa Rais Kufuata Sheria

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amewataka baadhi ya wananchi ambao ni washtakiwa au wafungwa wanaopata msamaha...

READ MORE

Yanga Kusaini Mkataba na La Liga leo

SAFARI ya Yanga kutimiza ndoto ya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wake, inaanza leo wakati klabu hiyo itakaposaini mkataba na...

READ MORE

Lwakatare Arejea CUF, Atangaza Kutogombea Ubunge -Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),akiwemo Wilfred Lwakatare wamekihama chama hicho na kujiunga na Chama cha Wananchi...

READ MORE

Video: Serikali Yaridhia Mashabiki Kwenda Uwanjani

Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Hassan Abbas, leo Mei...

READ MORE

Soma Mwongozo wa Serikali Katika Michezo Huu Hapa

Kufuatia kuwepo kwa ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona nchini ambao uliripotiwa kwa mara ya kwanza mwezi Machi,...

READ MORE

Marekani Yatakiwa Kutafakari Upya Uamuzi Wake Kuhusu WHO

Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kufuta uhusiano wa nchi yake na shirika la afya duniani WHO haikupokewa...

READ MORE

Video: Upendo Nkone, Ampongeza Rais Magufuli Kwa Mapambano Ya Corona

MWIMBAJI nguli wa nyimbo za injili hapa nchini, Upendo Nkone, leo Mei 31, 2020 ameshiriki katika kipindi cha Soulfood kinachorushwa...

READ MORE

Naibu Waziri Elimu  Avitaka Vyuo  Kuzingatia Maelekezo Ya Kujikinga Na Corona Bila Kuwatia Hofu Wanafunzi

    Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia William Ole Nasha amevitaka Vyuo vya Elimu ya Juu na vya...

READ MORE

Kifo cha George Floyd: Maandamano Yatanda Marekani -Video

  Maandamano makubwa yanayofanyika kote nchini Marekani baada ya mmarekani mweusi George Floyd kufa mikononi mwa polisi katika jimbo la...

READ MORE

Wema Awashukuru Wanaomtakia Ndoa Njema

Staa mkubwa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu amemshukuru Mungu kwa kuona watu ambao ni mashabiki wake wakimtakia ndoa njema....

READ MORE