×

Airtel Yatoa Mazda CX-5 kwa Mshindi wa Kampeni ya “Mwaka Umenyooka” Arusha

Arusha, Aprili 1, 2026 – Airtel Tanzania imemkabidhi rasmi gari jipya aina ya Mazda CX-5 Bw. Razak, mshindi wa pili...

READ MORE

Prof.. Shemdoe Awasilisha Randama Ya Makadirio ya Mapato Na Matumizi Ofisi ya Waziri Mkuu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewasilisha...

READ MORE

Atletico Madrid Wazidiwa Mbio, Barca na Madrid Wapeta

Je unajua Atletico Madrid inaweza kukupatia pesa ukibashiri mechi zake zote hapa?. ODDS zake mara nyingi huvutia hivyo ingia kwenye...

READ MORE

Msimamo wa Marekani NATO Watia Mashaka, Hegseth Asema Ni Uamuzi wa Rais

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amekataa kuthibitisha tena dhamira ya Marekani...

READ MORE

Fahamu Mambo Muhimu Yasiyotakiwa Kupuuzwa Katika Gari Lako

Kila mmiliki wa gari anapaswa kuwa makini na alama ndogo ndogo zinazoweza kuashiria matatizo makubwa yanayoweza kusababisha ajali au gharama...

READ MORE

Makosa Yanayosababisha Wanawake Wasiolewe Yapo Hapa!

WAHENGA huwa wana misemo yao ile kwamba sijui kuolewa ni bahati, kuolewa ni tabia na mingine mingi tu. Leo nataka...

READ MORE

Cadillac Escalade IQ Yatangazwa Kuwa SUV Bora Mwaka 2026

Jarida la magari la MotorTrend limetangaza rasmi kuwa ndiyo SUV Bora ya Mwaka 2026. Ushindi huu si wa bahati, bali...

READ MORE

Video: Mwili wa Lukuvi Wazikwa Iringa, Waziri Mkuu Afunguka Mazito

WAZIRI MKUU, Mwigulu Nchemba, amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na...

READ MORE

Watu 6 Wafariki, 14 Wajeruhiwa Ajali ya Basi la Green Line Singida

Watu sita wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani, iliyotokea katika eneo la Injiri, Wilaya ya Ikungi...

READ MORE

Marekani Yathibitisha Ongezeko la Meli Kupita Hormuz, Afichua Harakati Mpya

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, amesema kuwa idadi ya meli zinazopita katika Strait of Hormuz imeongezeka, akisisitiza kuwa...

READ MORE

Msigwa Aeleza Ukweli wa Ongezeko la Gharama za Uwanja wa Arusha

Serikali imeeleza sababu za kuongezeka kwa gharama za ujenzi wa uwanja wa mpira unaojengwa mkoani Arusha, ambapo sasa zimefikia shilingi...

READ MORE

Mwanamke Atoroka Kwenye Gari la Polisi Kupitia Dirisha Akiwa na Pingu

Tukio la kushangaza limewaacha wengi midomo wazi baada ya mwanamke mmoja aliyekuwa amefungwa pingu kufanikiwa kutoroka ndani ya gari la...

READ MORE

Mwanamke Afungwa Mwaka Mmoja Jela kwa Kuiba Mtoto wa Miezi Mitatu – Video

Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu mwanamke mmoja, Novina Yoel Kuboja (23), kifungo cha mwaka mmoja jela baada...

READ MORE

Mtanzania Afariki Uturuki Baada ya Kudondoka Ghorofa ya 14, Utata Wazuka – Video

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeibuka mjadala...

READ MORE

Zelensky Aishutumu Russia Kushirikiana na Iran Kushambulia Marekani

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, ametoa madai mazito akidai Russia imekuwa ikishirikiana kwa karibu na Iran katika kutoa taarifa za...

READ MORE

Hasara Sio Mwisho! Meridianbet Wakurudisha Mchezoni na Win&Go

Sasa mchezo umebadilika. Meridianbet inaleta njia mpya ya kufurahia ubashiri kupitia Win&Go, ambapo hata unapopoteza, bado unapata sababu ya kutabasamu....

READ MORE

Simba Kupambana na Ratiba Ngumu Aprili, Macho Yote Kwa Barker

Simba SC chini ya Kocha Mkuu Steve Barker inaingia mwezi Aprili 2026 ikiwa na ratiba ngumu ya mechi za NBC...

READ MORE

Dakika 1 Tu Inaweza Kukupa Utajiri! Jaribu Live In-Play Booster Leo

Live In-Play Booster ni huduma ya Meridianbet inayowezesha wateja kubashiri mechi zinazoendelea (live matches) na kupata odds zilizoboreshwa papo kwa...

READ MORE

Dalili 5 Muhimu za Ugonjwa wa Figo Usizopaswa Kupuuza

Figo hufanya kazi nyingi kwa wakati mmoja katika mwili wetu. Huondoa taka katika mwili. Kuweka uzaini wa maji na madini...

READ MORE

Chris Brown Azua Gumzo Baada ya Kumbusu Shabiki Jukwaani

Msanii maarufu wa muziki kutoka Marekani, Chris Brown, amezua gumzo kubwa mitandaoni kufuatia tukio lililotokea katika moja ya maonyesho yake...

READ MORE