×

Abdulrazak Salum Aeleza Jinsi Ndoa Ilivyomvuruga Maishani – Video

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Abdulrazak Salum, amefunguka na kueleza kuwa ndoa iliwahi kuchanganya maisha yake kwa kiasi kikubwa hadi...

READ MORE

Mahakama Kuu Yaamuru Kufungwa kwa Sahara Media Group Limited

Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru kufungwa kwa kampuni ya Sahara Media Group Limited, iliyojishughulisha na vyombo vya habari, matangazo...

READ MORE

Stanbic Yaandaa Futari Kuimarisha Mahusiano na Wadau

Benki ya Stanbic imeandaa futari maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana, ikiwa ni sehemu ya kushiriki baraka za mwezi...

READ MORE

Trump Afichua Taarifa za Mashambulizi ya Siri ya Iran Ndani ya Marekani

Donald Trump amesema mamlaka za usalama nchini Marekani zinachunguza taarifa za uwezekano wa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drone)...

READ MORE

Vaso Psycho Inawasha Moto wa Ushindi Mkubwa

Wapenzi wa michezo ya kasino mtandaoni sasa wana sababu mpya ya kutabasamu baada ya kuzinduliwa rasmi kwa Vaso Psycho, mchezo...

READ MORE

Airtel Tanzania Yazindua Maduka 17 Mapya Jijini Dar es Salaam

Machi 12, 2026. Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini, imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini...

READ MORE

Israel Yaapa Kuendeleza Mashambulizi Hadi Malengo Dhidi ya Iran Yatimizwe

Israel Defense Forces imesema iko tayari kuendelea na vita dhidi ya Iran kwa muda mrefu kadri itakavyohitajika hadi malengo ya...

READ MORE

Halmashauri ya Jiji la Mbeya Yatangaza Nafasi 19 za Ajira

Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na tisa (19) baada ya kupata...

READ MORE

Jinsi Ya Kudhibiti Kupanda Kwa Shinikizo La Damu

Shinikizo la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 12, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Afunga Mkutano Wa Uhakiki Wa Rasimu Ya Mpango Wa Mkumbi-Ii

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Machi 11, 2026 amefunga mkutano wa uhakiki wa rasimu ya Mpango wa Pili wa Kuboresha...

READ MORE

Vodacom Wakabidhi Matundu 10 ya Vyoo Shule ya Mkata

Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank wamejenga matundu 10 ya kisasa ya vyoo katika...

READ MORE

Ladha za Sasa: Ukali Wenye Tabaka na Athari za Vinywaji

Dar es saalam, Tanzania – Kampuni ya Kerry Group imezindua ripoti ya Kenya Taste Charts 2026, ikionyesha mabadiliko makubwa katika...

READ MORE

Ubalozi wa Uingereza Waipongeza Tanzania kwa Kukabiliana na Marburg

Ubalozi wa Uingereza nchini umeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mkakati na juhudi kubwa zilizowekwa katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko,...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation Yazindua Kambi ya Afya Bure Morogoro

Magonjwa yasiyoambukiza kama shinikizo la damu, kisukari na magonjwa ya moyo yanaongezeka nchini Tanzania, yakichangia takribani asilimia 34 ya vifo...

READ MORE

Rais Samia Amuasili Mtoto Mchanga Aliyetelekezwa Tabora – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi,...

READ MORE

Kihongosi Akagua Mradi wa Soko la Milioni 577 Buchosa

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Cha Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema uwekezaji katika miundombinu ya masoko...

READ MORE

Yanga Yachanja Mbuga Ligi Kuu Licha ya Kutolewa CAF

Je unajua kuwa ni rahisi sana kwako wewe kusuka jamvi na Meridianbet endapo Mechi za Yanga zitakuwa zinachezwa?. ODDS KUBWA...

READ MORE

Prof. Kitila Awasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2026/27

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Kitila Alexander Mkumbo amewasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, amekutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja...

READ MORE