×

Tanzania Yapongezwa Usimamizi Rasilimali Madini, Mafuta Na Gesi Asilia

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko Aprili 3, 2024 amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti wa...

READ MORE

Seti ya kwanza ya treni ya kisasa ya EMU Yawasili katika Bandari ya Dar

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema Seti ya kwanza ya treni ya kisasa ya Electric Multiple Unit (EMU), vichwa vitano...

READ MORE

Rais Samia Ateua viongozi Watatu wa Mahakama Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Sylvester Joseph Kainda kuwa Jaji wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 4, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Wanawake Wa Mwalusembe Pwani Wakihimizwa Kutunza Mazingira Kwa Kuachana Na Kuni Na Mkaa

Pwani 4 Aprili 2024: Balozi  wa Heshima wa Shelisheli nchini Tanzania, Maryvonne Pool kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas,...

READ MORE

Samsung Yaongeza Ubunifu Na Usalama Kwa Wateja Kupitia Galaxy A55 5G Na A35 5G

Zikiwa na maboresho ya program za usalama na uono angavu zaidi, simu mpya za toleo la Galaxy A zinaleta uhuru...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: Mapato Ya Ndani Yafikia Trilioni 17 – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kati ya Julai, 2023 na Januari, 2024 Serikali imefanikiwa kukusanya sh. trilioni 17.1 ambazo ni...

READ MORE

Amos Makalla Achukua nafasi ya Paul Makonda CCM

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Amos Makalla kuwa Katibu wa halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo akichukua...

READ MORE

Jokate Mwegelo Ateuliwa kuwa Katibu wa mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM)

Aliyekuwa Katibu wa UWT Jokate Mwegelo ameteuliwa kuwa Katibu wa mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM) Jokate anachukua nafasi ya...

READ MORE

John Mongella Achaguliwa Kuwa Naibu Katibu Mkuu Wa CCM Bara

John Mongella amechaguliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, akichukua nafasi ya Anamringi Macha ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa...

READ MORE

Ally Hapi Achaguliwa Kuwa Katibu Mkuu Wa Umoja Wa Wazazi Tanzania

Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi imemchagua Ally Salum Hapi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi Tanzania Hapi ana...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar – Picha

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, kilichokutana leo Jumatano,...

READ MORE

Historia ya Kale ya Misri Katika Book of Egypt Kasino

Nchi ya Misri ni miongoni mwa mataifa yenye mchango mkubwa katika historia ya mambo ya kale, unapozungumzia historia ya Pyramids,...

READ MORE

Rais Samia Azindua Tume Ya Ulinzi Wa Taarifa Binafsi JNICC, Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan azindua Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi pamoja na Mifumo...

READ MORE

Rais wa Senegal Amteuwa Kiongozi wa Upinzani Ousmane Sonko kuwa Waziri Mkuu

RAIS mpya wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, amemteuwa kiongozi maarufu wa upinzani Ousmane Sonko, kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo,...

READ MORE

Mwanafunzi awashambulia wanafunzi wenzake kwa bunduki Shuleni Finland

Mwanafunzi mwenye umri wa miaka 12 amefariki na wengine wawili wamejeruhiwa baada ya mwanafunzi mwenzao kuwashambulia kwa bunduki ndani ya...

READ MORE

Ihefu Yafanya Mabadiliko Ya Jina Kutambulika Kama Singida Black Stars

Klabu ya lhefu Fc iliyohamisha makazi yake kutoka Mbarali mkoani Mbeya na kwenda Mkoani Singida imefanya mabadiliko ya jina lake...

READ MORE

Bei Za Mafuta Zapanda, Kuanza Kutumika Leo Aprili 3, 2024

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika leo Jumatano Aprili...

READ MORE

Jamaa Ataka Kumuua Mama’ke Na Kumtupa Buza, Mama Aokotwa Akiwa Hoi – Video

Mapya yanazidi kuibuka kufuatia tukio la kijana aliyefahamika kwa jina la Clemence Mahela mkazi wa Yombo Matangini kwa Mbembe jijini...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 3, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE