The House of Favourite Newspapers
gunners X

HII YA KAJALA KALI

STAA mwenye mvuto wa kipekee kwenye kiwanda cha filamu Bongo, Kajala Masanja ametoa kali baada ya kusema kuwa katika vitu ambavyo havipendi ni kulala na nguo usiku japokuwa bado hajaolewa. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Kajala…

LULU DIVA ADAIWA KATUPIWA JINNI

JAMANI wapenda ubuyu mtamu mpo? Basi kwa taarifa yenu ubuyu wa motomoto Pasaka hii unamhusu mwanamuziki wa kike anayefanya poa kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’. Kwa mujibu wa mtoa ubuyu wetu ambaye ni mtu wa karibu wa…

Aamka, Akuta Jeneza Nje ya Nyumba!

MBEYA: NELSON Edson, mkazi wa Mtaa wa Nsalaga Kata ya Nsalaga jijini hapa amejikuta kwenye taharuki kubwa baada ya kuamka na kukuta jeneza tupu dogo nje ya mlango wa nyumba yake. Tukio hilo lililoibua hekaheka mtaani hapo lilijiri…

Wolper Asarenda kwa Wanaume

MKALI wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe amesarenda na kufunguka kuwa, mwanamke yeyote ni vyema akajituma kwa sababu hakuna mwanaume anayehonga kwa sasa. Akipiga stori na Ijumaa Wikienda, Wolper alisema kuwa, zamani mwanamke…