×

Marekani yatoa dola milioni 100 kuzisaidia Uturuki na Syria kukabiliana na athari za tetemeko la ardhi

Marekani inatoa dola zingine milioni 100 kama msaada wa kibinadamu kwa Uturuki na Syria kuzisaidia nchi hizo mbili kukabiliana na...

READ MORE

Benki Absa Yaboresha Mkopo wa Nyumba, Yaingia Makubaliano na NHC

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula amefika katika jengo la Morocco Square kuzindua Huduma ya...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Mchumba Wangu Alivyotupiwa Jini na Ndugu Zake ili Nisimuoe

  JINA langu ni Ally kutokea Dodoma, Tanzania, nina mchumba wangu ambaye tupo kwenye mahusiano kwa mwaka wa nane huu,...

READ MORE

Waziri Aweso Atua London Kwenye Mkutano Maalum wa Maji Duniani

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefika London Uingereza na kuanza kwa kusaini kitabu cha wageni na kutoa salam katika...

READ MORE

Benki Ya NCBA Tanzania Yajipanga Kupanua Wigo Katika Sekta Muhimu Za Kiuchumi

Dar es Salaam: Benki ya NCBA Tanzania, taasisi ya kifedha inayoongoza nchini, imetangaza mipango yake ya kutanua shughuli zake ili...

READ MORE

Bodi ya Wakurugenzi ya Akiba Commercial Bank PLC (ACB) Yapata Mwenyekiti Mpya

Bodi ya Wakurugenzi ya Akiba Commercial Bank Pic (ACB) inapenda kutangaza uteuzi wa Mwenyekiti wake mpya, Bi. Catherine N. Kimaryo....

READ MORE

Yanga Wawataja Watakaowamaliza Mazembe leo Jumapili kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar

WAKATI Yanga ikiwa na kazi ya kusaka ushindi leo kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi dhidi...

READ MORE

Korea Kaskazini Yarusha Kombora la Masafa Marefu Karibu na Ufukwe wake wa Mashariki

Korea Kusini na Japan zimesema Jumamosi kwamba Korea kaskazini imerusha kombora la masafa marefu karibu na ufukwe wake wa mashariki,...

READ MORE

Fahamu Historia Ya Vannesa Mdee, Kuzaliwa, Elimu, Muziki, Mapenzi Yakavuruga Ubongo Wake – Video

KATIKA ‘Brain Food’ leo tunakupa historia ya mwanamuziki Vannesa Mdee kutoka Tanzania ambaye kwa sasa ameamua kuacha muziki.

READ MORE

Watoto Wenye Ulemavu Na Wasiojiweza Bagamoyo Wafutwa Machozi Na Tete Foundation

18 Februari 2023:Watoto wenye ulemavu na wasiojiweza wa Kituo cha Hopes kilichopo Miono Bagamoyo Pwani, wamefutwa machozi na Taasisi ya...

READ MORE

Biden Kutoa Hotuba ya Maadhimisho ya Mwaka Mmoja Tangu Vita vya Ukraine, Akiwa Poland, Jumanne

Rais wa Marekani, Joe Biden anajitayarisha kwa maadhimisho ya mwaka mmoja wa uvamizi wa Russia nchini Ukraine kwa hotuba katika...

READ MORE

Maelfu Wajitokeza Kuchukua Namba Na Vest Za Kukimbilia, Tigo Half International Marathon

Februari, 18 – 19 , 2023 Maelfu ya wakazi wa Dar Es Salaam , wamejitokeza kwa wingi katika viwanja vya...

READ MORE

Nabi Aivaa TP Mazembe Kivingine Leo Jumapili Uwanja wa Mkapa, Dar

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga, amesema kuwa watabadili mbinu kwenye mchezo dhidi ya TP Mazembe, huku akija kwa utofauti...

READ MORE

Exclusive Video: Inspector Haroun Afunguka Bifu Lake Na Juma Nature, Maisha Yake Hali, Muziki

 Msanii mkongwe, Haruna Kahema ‘Inspector Haroun’, mkali wa michano ambaye aliwahi kutamba na ngoma nyingi zikiwemo Pamba Nyepesi, Bye...

READ MORE

Simba Yaapa Kufa Na Vipers, Horoya Uwanja wa Mkapa Baada ya Kufungwa na Raja Casablanca

BAADA ya kupoteza mechi mbili mfululizo za Kundi C katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC sasa imepanga kufa na...

READ MORE

Video: Bango La Mchungaji Kimaro Lililowekwa Dar Lazua Taharuki, Polisi Watinga, Waumini Waelezea..

WAUMINI wa Mchungaji Eliona Kimaro, wameweka bango lenye picha ya mchungaji huyo kama ishara ya kumuonesha upendo kwa kumkumbuka. ⚫️...

READ MORE

Kijana Aokolewa Akiwa hai Baada ya saa 260 za Tetemeko la Ardhi huko Uturuki

Waokoaji wa Uturuki walifanikiwa kumtoa kijana mdogo akiwa hai kutoka kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka saa 260 baada ya tetemeko...

READ MORE

Viongozi wa Afrika wanakutana Addis Ababa Kwenye Mkutano wa 36 Umoja wa Afrika (AU)

Wakuu wa nchi za Afrika wameanza mkutano wao wa kila mwaka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa. Mkutano wa...

READ MORE

Naibu Waziri Kundo Ampongeza Rais Samia Uboreshaji Mazingira ya Tasnia ya Habari

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Utafiti Wabaini Kukithiri Kwa Rushwa ya Ngono Kwenye Vyombo vya Habari

  Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Februari 17, 2023  kimeendesha mjadala na wahariri wa vyombo vya habari kujadili...

READ MORE