TIMU ya Majimaji ya Mjini Songea, juzi ilitoka sare ya bao 2-2 na Timu ya Tanzania Prisons ya Mbeya katika mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ulipigwa katika Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Majimaji ambayo ni moja ya timu kongwe nchini Tanzania, inayodhaminiwa na Kampuni ya Mchezo ya Kubashiri ya Sokabet.