The House of Favourite Newspapers

Picha: Mwana FA afunga ndoa

0

image

Msanii wa Bongo Fleva, Mwana FA akiwa na mke wake baada ya kufunga ndoa.

image

Ndoa hiyo ya kiislamu imehudhuriwa na ndugu na marafiki zake wa karibu wakiwemo AY, Hermy B, Ommy Dimpoz, Sallam, Dully Sykes, Alberto Msando na wengine.

image

image

image

image

Tunampongeza FA kwa hatua hiyo.

Leave A Reply