Piere Liquid Atinga Bungeni Dodoma Akutana na Spika
Mchekeshaji Peter Mollel alimaarufu kama Pierre Liquid leo amefika bungeni na kutana na Spika wa Bunge, Job Ndugai, Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson na Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai.
PICHA NA BUNGE DODOMA
Comments are closed.