Maofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara ambao wanatuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa leo Feb 8, 2022 wakiwa chini ya ulinzi mkali.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.