JPM AFUNGUA MKUTANO VYAMA VYA SIASA AFRIKA
RAIS John Magufuli leo amefungua mkutano wa kimataifa wa vyama vya siasa ulioandaliwa na Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) kwa kushirikiana na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mkutano huo umefanyika jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bashiru Ally, akitoa hutoba.
Comments are closed.