The House of Favourite Newspapers

Rais Magufuli Aendesha Kikao Cha Kamati Kuu Ya CCM Ikulu Jijini Dar

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichoanza leo Jumatano ya Septemba 27, 2017 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kimehudhuriwa na wajumbe wote wa Halmashauri Kuu,wakiwemo Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Alli Mohamed Shein,Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Kassim Majaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Alli Idd.
Makamu Mwenyekiti wa CCM) PhiliP Mangula (kulia) akikaribishwa ukumbini.
Rais ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwasili ukumbini.
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Zanzibar, Mohammed Shein.
Rais Shein akisalimiana na Spika wa Bunge, Job Ndugai.

RAIS na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Ikulu jijini Dar es Salaam ambacho kimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho.

Leave A Reply