Rais Magufuli Aendesha Kikao Cha Kamati Kuu Ya CCM Ikulu Jijini Dar
RAIS na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Ikulu jijini Dar es Salaam ambacho kimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho.