MAGUFULI AKUTANA NA NAIBU WAZIRI MKUU WA QATAR
…Akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake. Wengine katika picha ni Waziri wa Mambo ya Nje Profesa Palamagamba Kabudi (wa tatu kulia).
Rais Magufuli leo amekutana na Naibu Waziri Mkuu wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman J.A Al Thani, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Comments are closed.