MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais John Magufuli, ambaye ni mgombea urais kupitia chama hicho amerudisha fomu za kugombea nafasi hiyo leo Juni 30, 2020, jijini Dodoma, katika ofisi kuu za chama hicho.
Akiongea baada ya kupokea fomu hizo, Katibu mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema kuwa, Magufuli amedhaminiwa na wanachama 1,023,911 Tanzania nzima.
Ameongeza kuwa kikao cha Kamati Kuu kitakaa Julai 10, 2020, ili kupitisha majina ya wagombea urais, Tanzania na Zanzibar.
Baadhi maneno aliyosema Magufuli ni haya: