RAIS MAGUFULI ATOA MKONO WA POLE KWA FAMILIA YA MRISHO GAMBO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amefika mtaa wa Muheza Kariakoo jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia ya Mzee Mashaka Gambo kwa kufiwa na mkewe ambaye pia ni mama mzazi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo kwa kufiwa na mama yake mzazi Marehemu Rehema Paul Mumbuli, leo Aprili 18, 2018.
Comments are closed.