Rais Magufuli gumzo mitandaoni, Wakenya wasifia uchapakazi wake
Rais JohnPombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Rwanda, Paul Kagame.
SIFA kubwa aliyonayo Rais Dk John Pombe Magufuli ya uchapakazi na kufuatilia kwa karibu shughuli za serikali imekua gumzo mitandaoni huku akipongezwa kwa utendaji kazi wake kwani ni ujumbe tosha, si kwa maofisa wa Tanzania pekee, bali na nchi za jirani pia, kuwaacha viongozi wa nchi hizo kwenye wakati mgumu.
Kenya ambayo imekuwa ikifuatilia siasa za Tanzania tangu wakati wa kampeni, imeonesha kupenda mbinu za utendaji kazi wa Magufuli na wananchi wake wanatamani mtu kama yeye.
Kwa kipindi kifupi alichoingia madarakani, Magufuli amefanya mambo makubwa na wananchi wamependa.
Ziara yake ya kushtukiza kwenye Wizara ya Fedha, Hospitali ya Taifa Muhimbili kufichua uovu mwingi na kupelekea kufutwa kwa bodi ya wakurugenzi wa hospitali hiyo na kumuondoa Kaimu Mkurugenzi wake, Dk Hussein Kidanto.
Ili kupunguza matumizi makubwa ya fedha za serikali kwaajili ya kugharamia safari za nje za viongozi wa nchi, Magufuli aliamua kuzisitisha mara moja.
Dk Magufuli pia alielekeza kiasi cha shilingi mil. 225 zilichangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge kupongezana mjini Dodoma zipelekwe kwenda kununua vitanda kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili. Badala yake shilingi milioni 15 pekee zilitumika kwaajili ya sherehe hiyo.
Siku chache baadaye vitanda hivyo na vifaa vingine vilinunuliwa na kupelekwa Muhimbili.
Jumatatu hii (jana) Magufuli alitangaza kuondoa sherehe za maadhimisho ya siku ya Uhuru December 9 na fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya maandalizi hayo zitumike kwa mambo mengine muhimu.
Hayo na mambo mengine yamefanya Dk Magufuli atrend nchini Kenya.
Tanzania’s Magufuli scraps independence day celebration #TunatakaMagufuli https://t.co/cf3s5gA4Pj
— Mart Wakoli (@MartWakoli) November 24, 2015
Uhuru appoints KiNUSU to EACC, Tanzania elects MaguFULL , who is more likely to win in the war against corruption. #TunatakaMagufuli — Patrick Sampao (@durkchild) November 24, 2015
Retweeted BEATUS KISUSI (@bkisusi): @durkchild Accountable leaders is what Africa countries do need #TunatakaMagufuli
— Mr Chanchard Wangdu (@awafat) November 24, 2015
Haha am loving this #TunatakaMagufuli https://t.co/UHwSgzUXtK — IG@Jobu_dre254 (@Joboyengo) November 24, 2015
Magufuli said government officials will not travel for events abroad because that is what Tz’s ambassadors are there for #TunatakaMagufuli — Patrick Sampao (@durkchild) November 24, 2015
Magufuli akuje atoe Uhuru lock juu ye ni Pombe.
— Dan Did It® (@Danielki_) November 23, 2015
Uhuru Kenyatta needs to borrow a leaf from his fresher counterpart in Tanzania Magufuli!!! — Fifi (@Sly_lis) November 23, 2015
Magufuli less than amonth in office vs Uhuru more than 2.5 yrs in office. #stateofthenation
— SHADRACK MUSYOKI (@Shadie_Musyoki) November 23, 2015
#StateOfTheNation magufuli went into action mood 2nd day in office,3 years down the line,uhuru is still forming committes to tell him to act — TeamMafisi Pope (@MafisiPope) November 23, 2015
Magufuli akuje atoe Uhuru lock juu ye ni Pombe.
— Dan Did It® (@Danielki_) November 23, 2015
#StateOfTheNation magufuli went into action mood 2nd day in office,3 years down the line,uhuru is still forming committes to tell him to act — TeamMafisi Pope (@MafisiPope) November 23, 2015
Pres. Uhuru has been talking since 2013, Pres. Magufuli has been ACTING since 3 weeks ago. More fruits in 3 weeks action than 3yrs talk.
— Collins BETT, Esq. (@CollinsFabien) November 23, 2015
“President Uhuru Kenyatta” should act not give statement. We want see him act like Buhari, and Magufuli. He has talked enough. Act now!! — George Onyango (@geogias) November 23, 2015
@MSungwa_ nice one. Our President will continue inspiring many in Africa and shake non Africans kdg. God bless Tanzania
— Subira Bawji (@BawjiS) November 24, 2015
Since Kenyans want Magufuli so bad, we can think of turning Kenya into one of our regions — Magembe (@MSungwa_) November 24, 2015
@bawjis @msungwa_ don’t think so man. Don’t just cut look for return on investment. We slowly pulling it
— Akunga Nyagaka (@NyagakaAkunga) November 24, 2015
@MwalimuTony until power get into their head….just hold your horses.@PoLycarpFM — HON KIBUCHI MWAI (@mkibuchis_Mzito) November 24, 2015
Magufuli has in 2wks achieved more than Kenya’s Jubilee government 3yrs reign of mediocrity
— Stro’bae (@labokaigi) November 23, 2015
Can we have a magufuli clone in Kenya pliz ? — Alawi #77 (@alawiabdul) November 22, 2015
GOD Please bless kenya with a president like Tanzanians president Magufuli…#XtianDelaBlessingTrain.
— Sandyihachy (@sandie_swat) November 22, 2015
I am now convinced more than ever than Kenya needs a president from a minority group we have never heard of like Magufuli is to Tanzania — anita (@anitankirote) November 22, 2015
Kenya and Tanzania should merge so that Magufuli becomes our president too.
— Mungai (@erastu_) November 21, 2015
While in Kenya MPs are accompanying the DP to The Hague, see next what Magufuli did.. — ButterCup (@nana63cess) November 22, 2015
<p><a class=”twitter-timeline” href=”https://twitter.com/hashtag/WhatWouldMagufuliDo” data-widget-id=”672372331889745920″>#WhatWouldMagufuliDo Tweets</a>
<script>!function(d,s,id){var js,fjs=d.getElementsByTagName(s)[0],p=/^http:/.test(d.location)?’http’:’https’;if(!d.getElementById(id)){js=d.createElement(s);js.id=id;js.src=p+”://platform.twitter.com/widgets.js”;fjs.parentNode.insertBefore(js,fjs);}}(document,”script”,”twitter-wjs”);</script></p>
Comments are closed.