KITUO CHA NAMANGA KILIVYOFUNGULIWA NA MAGUFULI, KENYATTA – VIDEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na Uhuru Kenyatta wa Kenya leo wamezindua kituo cha pamoja cha huduma ya forodha Namanga Arusha — One Stop Border Post (OSBP) — ambacho kitasaidia kufanya biashara kati ya Tanzania na Kenya.
Comments are closed.