RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa na mkewe, Dkt. Tshepo Motsepe, wamewasili nchini Tanzania usiku wa kuamkia leo na kupokelewa na mwenyeji wao, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabundi ambaye alimwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli..
Ramaphosa amewasili kwa ziara rasmi ya siku mbili nchini kabla ya kuhudhuria Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) ambao utaanza keshokutwa Jumamosi, Agosti 17, 2019 jijini Dar es Salaam.
TAZAMA VIDEO
Comments are closed.