Rais Samia Aagana na Balozi wa Rwanda Nchini Ikulu Chamwino, Dodoma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Aprili 23, 2024 amezungumza na Balozi wa Rwanda Nchini Tanzania, Fatou Harerimana wakati Balozi Fatou alipofika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma kwa ajili ya kuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi Tanzania.