Rais Samia Aelekea Zambia Kuhudhuria Kuapishwa Rais Mteule -Video
Rais Samia Suluhu Hassan, ameagana na Viongozi mbalimbali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Agosti 24,2021 alipokuwa akielekea Nchini Zambia kuhudhuria kuapishwa kwa Rais Mteule, Hakainde Hichilema.