Rais Samia Afunga Mafunzo Ya Uofisa Chuo Cha Polisi Kurasini Dar- (Picha+Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki katika Mahafali ya Kufunga Mafunzo ya Uofisa Kozi No. 1/2021 leo Jumapili Desemba 12, 2021 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi, Kurasini, Jijini Dar es Salaam.
Jumla ya maofisa 747 wamehitimu mafunzo hayo.