Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP), Bi. Joyce Msuya na ujumbe wake Ikulu Jijini Dodoma leo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.