Rais Samia Amuapisha Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara na Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Ikulu Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Desemba 20, 2023 amewaapisha Maryam Ahmed Muhaji kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara na George Nathaniel Mandepo kuwa Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria, kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
PICHA NA IKULU