Habari Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Dar – Picha Last updated Mar 9, 2024 0 Share Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Dar es Salaam tarehe 08 Machi, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Dar es Salaam Machi 8, 2024. 0 Share