Rais Samia Apokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi Ikulu Jijini Dar – Picha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amepokea Hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Rwanda, Ujerumani, Balozi wa Umoja wa Ulaya, Norway Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 25 Septemba, 2023.