The House of Favourite Newspapers

Rais Samia Atembelea Kiwanda cha Karafuu cha Indesso Aroma nchini Indonesia

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Januari Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo pamoja na viongozi wengine wakifuatilia wasilisho la historia ya Kiwanda cha Karafuu cha Indesso Aroma nchini Indonesia wakati akihitimisha ziara yake nchini humo tarehe 26 Januari, 2024.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Januari Makamba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo pamoja na viongozi wengine leo Januari 26, 2024 wametembelea Kiwanda cha Karafuu cha Indesso Aroma nchini Indonesia wakati akihitimisha ziara yake nchini humo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha Karafuu cha Indesso, Robby Gunawan kuhusu mchoro maalum unaoashiria mchakato mzima wa utengenezaji wa bidhaa zitokanazo na Karafuu nchini Indonesia tarehe 26 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Kiwanda cha Karafuu cha Indesso, Robby Gunawan kuhusu moja ya bidhaa zitokanazo na Karafuu ambazo zinatengenezwa na Kiwanda hicho nchini Indonesia tarehe 26 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo kuhusu kazi mbalimbali zinazofanyika katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso Aroma wakati akihitimisha ziara yake nchini Indonesia tarehe 26 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso Aroma nchini Indonesia wakati alipohitimisha ziara yake tarehe 26 Januari, 2024. Kiwanda hicho kikubwa kinatengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na malighafi ya zao hilo la Karafuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisikiliza maelezo kuhusu kazi mbalimbali zinazofanywa katika Kiwanda cha Karafuu cha Indesso Aroma nchini Indonesia wakati alipohitimisha ziara yake tarehe 26 Januari, 2024. Kiwanda hicho kikubwa kinatengeneza bidhaa mbalimbali kutokana na malighafi ya zao hilo la Karafuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mkurugenzi wa Ubunifu na uendeshaji wa Kiwanda cha Indesso Bi. Rosalina Privita mara baada ya kukagua shughuli mbalimbali za Kiwanda hicho cha Karafuu nchini Indonesia tarehe 26 Januari, 2024.
Leave A Reply