Rais Samia Atembelea Kiwanda cha SC Johnson Family cha Chicago Marekani
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye yupo katika ziara ya kikazi nchini Marekani amepata fursa ya kutembelea kiwanda cha SC Johnson Family kilichopo Chicago ambacho kinahusika na kutengeneza viuatilifu kwa ajili ya kudhibiti wadudu wanaodhuru waenezao magonjwa mbalimbali.