Rais Samia Avalishwa Nishani ya Mapinduzi ya Viongozi wenye sifa za Kipekee (Order of Praise)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amevalishwa Nishani ya Mapinduzi ya Viongozi wenye sifa za Kipekee (Order of Praise) na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwenye hafla iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu ya Zanzibar tarehe 11 Januari, 2024. Rais Samia ametunukiwa Nishani hiyo katika kuadhimisha miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
KIGOGO POLISI MWANAMKE ADAIWA KUJARIBU KUMUUA MUME WAKE KWA KUMTUMIA MAJAMBAZI AKIINGIA NYUMBANI…