Rais Samia Azungumza katika Mkutano wa Biashara wa Sekta Binafsi Nchini Uganda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 10, 2022 amezungumza Jijini Kampala katika Mkutano wa Biashara wa Sekta Binafsi uliowahusisha Watendaji Wakuu CEOs wa Sekta hiyo kutoka Tanzania na Uganda.
Rais Samia Suluhu Hassan yupo nchini Uganda kwa Ziara ya Kiserikali ya siku mbili .