Ronaldo sasa anaichukua mara ya nne, akiwa alianza mwaka 2008 akiwa Manchester United na alipoingia Madrid, unaweza kusema hii ni ‘hat trick’.
Kabla haijawa Ballon d’Or, Ronaldo alichukua mwaka 2008, Messi akachukua mwaka 2009.
Baada ya kuwa Ballon d’Or, Messi amechukua mara nne miaka ya 2011, 2012, 2013 na 2015. Huku Ronaldo akiwa amechukua mara tatu katika miaka ya 2013, 2014 na 2016.
2016 BALLON D’OR RESULT
1. Cristiano Ronaldo (Portugal / Real Madrid)
2. Lionel Messi (Argentina / Barcelona)
3. Antoine Griezmann (France / Atletico Madrid)
4. Luis Suarez (Uruguay / Barcelona)
5. Neymar (Brazil / Barcelona)
6. Gareth Bale (Wales / Real Madrid)
7. Riyad Mahrez (Algeria / Leicester City)
8. Jamie Vardy (England / Leicester City)
9. Pepe (Portugal / Real Madrid)
9. Gianluigi Buffon (Italy / Juventus)
11. Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon / Borussia Dortmund)
12. Rui Patricio (Portugal / Sporting Lisbon)
13. Zlatan Ibrahimovic (Sweden / Manchester United)
14. Arturo Vidal (Chile / Bayern Munich)
14. Paul Pogba (France / Manchester United)
16. Robert Lewandowski (Poland / Bayern Munich)
17. Dimitri Payet (France / West Ham)
17. Luka Modric (Croatia / Real Madrid)
17. Toni Kroos (Germany / Real Madrid
France Football’s imeanika kati ya wachezaji 30, hawa 11 hawakupata kura hata moja: Aguero, De Bruyne, Dybala, Godin, Higuain, Iniesta, Koke, Lloris, Muller, Neuer na Ramos.
Comments are closed.