The House of Favourite Newspapers

Saida Karoli, Belle 9 na G Nako Kwenye Kichaka (VIDEO)

0

MSANII mkongwe wa muziki wa asili, Saida Karoli ambaye hivi karibuni amekuwa akitamba na wimbo wake wa Orugambo baada ya kurudi kwenye game ya muziki, mkali huyo leo September 4, 2017 ameliamsha dude kwa kuachia video mpya ya wimbo wake ‘Kichaka’.

Katika wimbo huyo, Saida mwenye sauti ya kipekee, amewashirikisha G Nako wa Weusi na Belle 9 ambao kwa pamoja wameutendea haki wimbo huo.

Ngoma hiyo ambayo imeshutiwa hapa hapa Bongo, imeaandaliwa na Director Hanscana.

ISHUHUDIE HAPA CHINI

Kumbuka kuwa ili kujiunga na kubashiri ili kuvuna fedha unatakiwa kutembelea tovuti ya www.sokabet.co.tz ambapo humo ndani una nafasi ya kushinda hadi shilingi milioni 100 kwa kuweka Sh 1,000 tu.

SHUHUDIA UZINDUZI HUO.

 

 

Leave A Reply