The House of Favourite Newspapers

Shambulio la kujitoa mhanga laua 14 Iraq

0

gasi

Sehemu ya kiwanda cha gesi ikiteketea baada ya shambulio hilo.

Takribani watu 14 wamepoteza maisha huku zaidi ya 20 wakijeuhiwa vibaya katika shambulio la kujitoa mhanga lililotokea kwenye kiwanda cha gesi kaskazini mwa mji Mkuu wa Iraq, Baghdad.

gari

Msemaji wa Jeshi la Iraq amesema gari lililokuwa limetegwa milipuko lililipuka karibu na lango la kuingia kwenye kiwanda hicho leo asubuhi na baadaye washambuliaji sita wa kujitoa mhanga wakaingia ndani ya kiwanda hicho ambapo walikabiliana na maofisa wa usalama.

Kundi la IS limekiri kuhusika na shambulio hilo.

Leave A Reply