The House of Favourite Newspapers

SIMANZI! MWILI WA ISAAC GAMBA UKIAGWA LUGALO – VIDEO

Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW), Isaac Muyenjwa Gamba umeagwa leo Jumatatu, katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam na baadaye utapelekwa airport tayari kwa safari kuelekea kwao Bunda kupitia Mwanza kwa ajili ya maziko.

Comments are closed.