Simba Yamtambulisha Kocha Mpya Raia wa Brazil Akitokea Vipers (Picha +Video)
Simba leo Januari 3, 2023 imemtangaza rasmi kocha wake mpya, Roberto Oliveira (69) kama kocha mkuu mpya klabuni hapo baada ya kocha huyo kuachana na waajiri wake wa zamani Vipers SC ya Uganda.
Oliveira ambaye ni raia wa Brazil, amepata mafanikio makubwa akiwa naKlabuya Vipers ya Uganda.